MAGANGILA AHITIMISHA ZIARA YA SIKU MBILI BULYANHULU.

Mbunge wa Jimbo la Msalala Mhe Mabula J. Magangila


Mbunge wa Jimbo la Msalala Mhe Mabula J. Magangila Aprili  12.4.2026  alihitimisha  ziara yake ya siku mbili katika Kata ya Bulyanhulu kwa kufanya mkutano wa hadhara. 

Aidha, alisikiliza kero za wananchi na kusisitiza dhana ya uwajibikaji wa pamoja kwa viongozi wote ili kuweza kutatua changamoto za wananchi ikiwa ni pamoja na kusoma mapato na matumizi kwa wananchi. 

Ziara hiyo ilihudhuriwa na Watumishi wa taasisi za serikali na viongozi wa Chama cha Mapinduzi wakiongozwa na Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Cde Odilia Batimayo na Diwani wa Kata ya Bulyanhulu Mhe Musingi Sabaganga.

Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge, Msalala.

 







 

0/Post a Comment/Comments